Abdullah bin Faisal Al Saud

(Elekezwa kutoka Abdullah al Faisal)


Abdullah bin Faisal Al Saud (1922 - 8 Mei 2007) alikuwa mtoto wa kwanza wa Mfalme wa Saudia, Faisal ibn Abdul Aziz, na Sultana, binti Ahmad ibn Muhammad kutoka katika familia yenye ushawishi mkubwa wa al-Sudairi familia ya Najd.

Abdullah bin Faisal Al Saud
Abdullah bin Faisal Al Saud Mwaka 1966
Abdullah bin Faisal Al Saud Mwaka 1966
Alizaliwa 1922
Alikufa 8 Mei 2007
Nchi {{{nchi}}}
Kazi yake {{{kazi yake}}}
Abdullah al-Faisal Al Saud
House of Saud
Abdullah al-Faisal ibn Abd al-Aziz ibn Abd al-Rahman Al Saud
Offspring



  • Khalid
  • Muhammad
  • Abdul Rahman
  • Talal
  • Saud
  • Sultan *Bandar
  • Turki
  • Sultana
  • Faisal


Kazi hariri

Alianza huduma yake ya kiserikali kama Makamu wa Mfalme wa Hejaz mara nyingi akiwa Waziri Msaidizi wa Masuala ya Nje ya Ufalme wakati akiwa na baba yake, Mfalme Faisal, katika safari yake ya kimataifa. Aliwahi kuhudumu pia kama Waziri wa Afya kutoka 1949-1950 na kama Waziri wa Mambo ya Ndani 1951-1959.

Abdullah baadaye alistaafu kutoka siasa ili kuzingatia maslahi ya biashara yake, inayojulikana kwa sana ikiwa ni Al Faisaliah Group ambayo ni miongoni mwa himaya za biashara za Saudia za mseto. Alikuwa Mwenyekiti wa shirika la msaada maarufu la King Faisal Foundation, pia alikuwa mshairi.

Kazi zake. hariri

Machapisho yake yamehakikiwa sana; hayo ni pamoja na:

  • Mahrum: Min Wahye al Hirman
  Makala hii kuhusu mwanasiasa fulani bado ni mbegu.
Je, unajua kitu kuhusu Abdullah bin Faisal Al Saud kama wasifu wake, habari za maisha au kazi yake?
Labda unaona habari katika Wikipedia ya Kiingereza au lugha nyingine zinazofaa kutafsiriwa?
Basi unaweza kuisaidia Wikipedia kwa kuihariri na kuongeza habari.