Agnesta Lambart Kaiza

mwanasiasa kutoka Tanzania

Agnesta Lambart Kaiza (alizaliwa Novemba 17, 1977) ni mwanasiasa wa Kitanzania na mwanachama wa chama cha siasa cha CHADEMA. Alichaguliwa kuwa mjumbe wa Viti Maalum kama mwakilishi wa wanawake na amekuwa mbunge tangu mwaka wa 2020.[1][2]

Marejeo hariri

  Makala hii kuhusu mwanasiasa fulani bado ni mbegu.
Je, unajua kitu kuhusu Agnesta Lambart Kaiza kama wasifu wake, habari za maisha au kazi yake?
Labda unaona habari katika Wikipedia ya Kiingereza au lugha nyingine zinazofaa kutafsiriwa?
Basi unaweza kuisaidia Wikipedia kwa kuihariri na kuongeza habari.