Albert Batyrgaziev

Bondia wa Urusi

Albert Khanbulatovich Batyrgaziev, (alizaliwa 23 Juni, 1998) ni mshindi wa medali ya dhahabu kutokea nchini Urusi [23 Juni 1998] katika mashindano ya Olimpiki huko Tokyo.[1][2]

Kazi hariri

Batyrgaziev alikuwa mpiga ndondi bingwa alipokua kijana kabla ya kuanza ndondi mwaka 2016.[3] Alikua mchezaji mashuhuri, Batyrgaziev aliiwakilisha Urusi kwenye Mashindano ya Dunia ya 2019, Baada ya kucheza kwa mara ya kwanza kitaaluma mwaka 2020.[4]

Batyrgaziev alishinda mapambano yake mawili ya kwanza mjini Tokyo na kufika nusu fainali, ambapo alitoka nyuma kwenye ubingwa na kumshinda mshindi wa medali tatu za Olimpiki wa Cuba Lázaro Álvarez. [5][6]

Marejeo hariri

  1. https://boxrec.com/en/proboxer/856316
  2. "Nakala iliyohifadhiwa" (PDF). Ilihifadhiwa kwenye nyaraka kutoka chanzo (PDF) mnamo 2021-12-03. Iliwekwa mnamo 2021-12-03.
  3. https://apnews.com/article/2020-tokyo-olympics-sports-boxing-russia-olympic-team-united-states-olympic-team-772c9613267f8c0a460fa7b01c54688f
  4. http://www.eubcboxing.org/news/dzambekov-and-abduljabbar-boxed-over-their-previous-limits-at-the-aiba-world-boxing-championships-on-day7/
  5. https://apnews.com/article/2020-tokyo-olympics-sports-boxing-russia-olympic-team-united-states-olympic-team-772c9613267f8c0a460fa7b01c54688f
  6. "Nakala iliyohifadhiwa". Ilihifadhiwa kwenye nyaraka kutoka chanzo mnamo 2021-12-03. Iliwekwa mnamo 2021-12-03.