Ali Tarab Ali
Ali Tarab Ali (amezaliwa 20 Julai 1947) ni Mbunge wa jimbo la Konde katika Bunge la Tanzania tangu 2005[1] Anatokea katika chama cha CUF.
Alipata shahada ya udaktari katika mada ya biokemia kutoka chuo Kikuu cha Kharkov, Urusi, mwaka wa 1984.
Tazama pia hariri
Marejeo hariri
- ↑ "Mengi kuhusu Ali Ali Tarab". 19 Julai 2006. Ilihifadhi kwenye nyaraka kutoka chanzo mnamo 2012-05-24. Iliwekwa mnamo 11 Novemba 2011.
Chanzo hariri
- Tovuti ya Bunge la Tanzania
Makala hiyo kuhusu mwanasiasa wa Tanzania bado ni mbegu. Unaweza kuisaidia Wikipedia kwa kuongezea habari. |