Alfege wa Canterbury
(Elekezwa kutoka Alphege Mtakatifu)
Alfege wa Canterbury (jina lake huandikwa pia “Aelfheah”; takriban 954 – 19 Aprili 1012) alikuwa mkaapweke, halafu abati wa monasteri, askofu na hatimaye askofu mkuu wa Canterbury nchini Uingereza.
Mwaka 1011, wakati wa uvamizi wa kikatili wa maharamia Wadenmark, alijitoa badala ya waumini wake akakamatwa, na kwa kuwa alikataa kukombolewa kwa pesa, Jumamosi baada ya Pasaka alipigwa kwa mifupa ya kondoo na hatimaye alikatwa kichwa kwenye kingo ya mto Thames, karibu na Greenwich[1].
Alitambuliwa rasmi kuwa mtakatifu mfiadini na Papa Gregori VII mwaka 1078.
Tazama pia hariri
Tanbihi hariri
Marejeo hariri
- Barlow, Frank (1979). The English Church 1000–1066: A History of the Later Anglo-Saxon Church (toleo la Second). New York: Longman. ISBN 0-582-49049-9.
- Blair, John (2002). "A Handlist of Anglo-Saxon Saints". In Thacker, Aland and Sharpe, Richard. Local Saints and Local Churches in the Early Medieval West. Oxford, UK: Oxford University Press. pp. 495–565.
.
- Brooke, Christopher; Brooke, Rosalind (1996). Popular Religion in the Middle Ages: Western Europe 1000–1300 (toleo la Reprint). New York: Barnes & Noble. ISBN 0-7607-0093-1.
- Delaney, John P. (1980). Dictionary of Saints (toleo la Second). Garden City, NY: Doubleday. ISBN 0-385-13594-7.
- Fletcher, R. A. (2003). Bloodfeud: Murder and Revenge in Anglo-Saxon England. Oxford, UK: Oxford University Press. ISBN 0-19-516136-X.
- Fryde, E. B.; Greenway, D. E.; Porter, S.; Roy, I. (1996). Handbook of British Chronology (toleo la Third revised). Cambridge, UK: Cambridge University Press. ISBN 0-521-56350-X.
- Hindley, Geoffrey (2006). A Brief History of the Anglo-Saxons: The Beginnings of the English Nation. New York: Carroll & Graf. ISBN 978-0-7867-1738-5.
- Holford-Strevens, Leofranc; Blackburn, Bonnie J. (2000). The Oxford Book of Days. Oxford, UK: Oxford University Press. ISBN 0-19-866260-2.
- Knowles, David; London, Vera C. M.; Brooke, Christopher (2001). The Heads of Religious Houses, England and Wales, 940–1216 (toleo la Second). Cambridge, UK: Cambridge University Press. ISBN 0-521-80452-3.
- Leyser, Henrietta (Septemba 2004). "Ælfheah (d. 1012)" (Kigezo:ODNBsub). Oxford Dictionary of National Biography (Oktoba 2006 ed.). Oxford University Press.
. http://www.oxforddnb.com/view/article/181. Retrieved 7 Novemba 2007.
- Nilson, Ben (1998). Cathedral Shrines of Medieval England. Woodbridge, UK: Boydell Press. ISBN 0-85115-540-5.
- Stenton, F. M. (1971). Anglo-Saxon England (toleo la Third). Oxford, UK: Oxford University Press. ISBN 978-0-19-280139-5.
- Southern, Richard (1941). "St Anselm and His English Pupils". Mediaeval and Renaissance Studies I: 5.
- Swanton, Michael James (trans.) (1998). The Anglo-Saxon Chronicle. New York: Routledge. ISBN 0-415-92129-5.
- Walsh, Michael J. (2007). A New Dictionary of Saints: East and West. London: Burns & Oats. ISBN 0-86012-438-X.
- Williams, Ann (2003). Aethelred the Unready: The Ill-Counselled King. London: Hambledon & London. ISBN 1-85285-382-4.
- Williams, Ann (2000). The English and the Norman Conquest. Ipswich, UK: Boydell Press. ISBN 0-85115-708-4.
- McDougal, I. (1993). "Serious Entertainments: an examination of a peculiar type of Viking atrocity". Anglo-Saxon England 22: 201–25.
Viungo vya nje hariri
Wikimedia Commons ina media kuhusu:
- Prosopography of Anglo Saxon England: Ælfheah Archived 1 Machi 2012 at the Wayback Machine.
Makala hii bado ni mbegu. Je, unajua kitu kuhusu Mkristo huyu, kama wasifu wake, habari za maisha au kazi yake? Je, unaona habari katika Wikipedia ya Kiingereza au lugha nyingine zinazofaa kutafsiriwa? Basi unaweza kuisaidia Wikipedia kwa kuihariri na kuiongezea habari. |