Amelia Earhart

Mwanzilishi wa maswala ya anga wa Marekani na mwandishi


Amelia Mary Earhart (Julai 24, 1897; Januari 5, 1939) alikuwa rubani wa usafiri wa anga wa Marekani[1].

Amelia Earhart
Amezaliwa24 Julai 1897
UtaifaMmarekani
Kazi yakeRubani
MwenzaGeorge P. Putnam

Earhart alikuwa rubani wa kike wa kwanza kuruka peke yake na kuvuka Bahari ya Atlantiki na aliweka rekodi nyingine nyingi[2]. Alikuwa mmoja wa rubani wa ndege wa kwanza kukuza usafiri wa anga kibiashara, aliandika vitabu vilivyouzwa zaidi kuhusu uzoefu wake wa urubani, na alisaidia sana katika uundaji wa shirika la marubani wa kike, lililojulikana kama The Ninety-Nines.

Mnamo Julai 2, 1937, Earhart alitoweka juu ya Bahari ya Pasifiki wakati akijaribu kuwa rubani wa kwanza wa kike kuzunguka Dunia.

Marejeo hariri

  1. "Amelia Earhart", Wikipedia (kwa Kiingereza), 2024-04-28, iliwekwa mnamo 2024-05-06 
  2. "National Geographic". National Geographic (kwa Kiingereza). Iliwekwa mnamo 2024-05-06.