Ampelio mkaapweke
Ampelio mkaapweke (alifariki Bordighera, Italia, 410 hivi) alikuwa mhunzi Mkristo wa Misri aliyeshi kwanza jangwani karibu na Thebe halafu akahamia Italia.
Tangu kale aanaheshimiwa kama mtakatifu.
Tazama pia hariri
Tanbihi hariri
Makala hii bado ni mbegu. Je, unajua kitu kuhusu Mkristo huyu, kama wasifu wake, habari za maisha au kazi yake? Je, unaona habari katika Wikipedia ya Kiingereza au lugha nyingine zinazofaa kutafsiriwa? Basi unaweza kuisaidia Wikipedia kwa kuihariri na kuiongezea habari. |