Amri (kutoka Kiarabu) ni agizo au katazo linalotolewa na mamlaka yoyote kwa watu walio chini yake kwa namna moja au nyingine.

Amri za Mungu zilizoandikwa kwa Kiebrania juu ya sahani ya kioo.

Katika Biblia ni maarufu Amri Kumi za Mungu.

Makala hii kuhusu mambo ya sheria bado ni mbegu.
Je, unajua kitu kuhusu Amri kama historia yake au uhusiano wake na mada nyingine?
Labda unaona habari katika Wikipedia ya Kiingereza au lugha nyingine zinazofaa kutafsiriwa?
Basi unaweza kuisaidia Wikipedia kwa kuihariri na kuongeza habari.