Antonino wa Piacenza

Antonino wa Piacenza (alifariki Piacenza, 303) alikuwa Mkristo aliyeuawa wakati wa dhuluma ya Dola la Roma chini ya kaisari Dioklesyano[1][2].

Kifodini cha Mt. Antonino kilivyochorwa.

Tangu kale anaheshimiwa kama mtakatifu mfiadini.

Sikukuu yake huadhimishwa tarehe 30 Septemba[3].

Tazama pia hariri

Tanbihi hariri

Viungo vya nje hariri

 
Wikimedia Commons ina media kuhusu:
  Makala hii bado ni mbegu.
Je, unajua kitu kuhusu Mkristo huyu, kama wasifu wake, habari za maisha au kazi yake?
Je, unaona habari katika Wikipedia ya Kiingereza au lugha nyingine zinazofaa kutafsiriwa?
Basi unaweza kuisaidia Wikipedia kwa kuihariri na kuiongezea habari.