Armaeli (kwa Kiwelisi Arthfael; pia: Arthmael, Arzhel, Armel, Armagilus; mwishoni mwa karne ya 5 - 570 hivi) alikuwa mmonaki wa Welisi aliyehamia Ulaya bara kama mmisionari akaanzisha monasteri huko Plouarzel (rasi ya Bretagne katika Ufaransa ya leo)[1].

Sanamu yake.

Tangu kale anaheshimiwa na Wakatoliki, Waorthodoksi na Waanglikana kama mtakatifu.

Sikukuu yake huadhimishwa tarehe 16 Agosti[2].

Tazama pia hariri

Tanbihi hariri

  1. http://www.santiebeati.it/dettaglio/90521
  2. Martyrologium Romanum, 2004, Vatican Press (Typis Vaticanis), page 171.

Marejeo hariri

  • Henri Poisson, Vie de saint Armel, Rennes, Imprimerie G. Laigneau, 1958.
  • Les noms qui ont fait l'histoire de Bretagne, 1997.

Viungo vya nje hariri

  Makala hii bado ni mbegu.
Je, unajua kitu kuhusu Mkristo huyu, kama wasifu wake, habari za maisha au kazi yake?
Je, unaona habari katika Wikipedia ya Kiingereza au lugha nyingine zinazofaa kutafsiriwa?
Basi unaweza kuisaidia Wikipedia kwa kuihariri na kuiongezea habari.