Ashish Kamania

Kriketi wa Tanzania

Ashish Kamania (alizaliwa 28 Machi 1990) ni mchezaji wa kriketi wa Tanzania. [1] Aliitwa katika kikosi cha Tanzania kwa ajili ya mashindano ya Ligi ya Kriketi ya Dunia ya daraja la tano 2016 huko Jersey, [2] akicheza katika mechi nne. [3]

Maelezo binafsi
Jina kamili Ashish Kamania
Tarehe ya kuzaliwa 28 Machi 1990
Mahala pa kuzaliwa   

* Magoli alioshinda

Marejeo hariri

  1. "Ashish Kamania". ESPN Cricinfo. Iliwekwa mnamo 4 May 2019.  Check date values in: |accessdate= (help)
  2. (12 May 2016). "Tanzania national Cricket team off for ICC World Div 5 duel" Archived 4 Juni 2016 at the Wayback Machine. – Daily News (Tanzania). Retrieved 12 May 2016.
  3. "Records, ICC World Cricket League Division Five, 2016 - Tanzania: Batting and bowling averages". ESPN Cricinfo. Ilihifadhi kwenye nyaraka kutoka chanzo mnamo 2021-11-22. Iliwekwa mnamo 4 May 2019.  Check date values in: |accessdate= (help)