Askofu wa jimbo ni askofu ambayo anachunga kwa mamlaka kamili jimbo fulani. Kwa msingi huo anatofautiana na askofu mwandamizi, askofu msaidizi n.k.

Katika Kanisa Katoliki[1]ni kazi yake kufundisha, kutakasa na kuongoza waamini wote wa jimbo lake [2]akisaidiwa na mapadri na mashemasi.[3]

Footnotes hariri

  1. "Canon 376". 1983 Code of Canon Law. Libreria Editrice Vaticana. Iliwekwa mnamo 27 Julai 2009.  Unknown parameter |dateformat= ignored (help)
  2. "Canon 369". 1983 Code of Canon Law. Libreria Editrice Vaticana. Iliwekwa mnamo 27 Julai 2009.  Unknown parameter |dateformat= ignored (help)
  3. "Canon 381". 1983 Code of Canon Law. Libreria Editrice Vaticana. Iliwekwa mnamo 27 Julai 2009.  Unknown parameter |dateformat= ignored (help)