Aurora Galli

Mchezaji mpira wa wanawake wa Italia

Aurora Galli (alizaliwa 13 Desemba 1996) ni mchezaji wa mpira wa miguu kutoka Italia ambaye anacheza kama kiungo wa klabu ya Everton inayoshiriki Ligi Kuu ya Wanawake (WSL)[1] na timu ya taifa ya Italia.[2]

Galli akiwa na timu ya taifa ya Italia mnamo 2018

Marejeo hariri

  Makala hii kuhusu mchezaji mpira fulani bado ni mbegu.
Je, unajua kitu kuhusu Aurora Galli kama wasifu wake, habari za maisha au kazi yake?
Labda unaona habari katika Wikipedia ya Kiingereza au lugha nyingine zinazofaa kutafsiriwa?
Basi unaweza kuisaidia Wikipedia kwa kuihariri na kuongeza habari.