Ayanda Bans

Mwanasiasa wa Afrika kusini pia mbunge wa jimbo la cape magharibi

Ayanda Ayanda Precious Bans ni mwanasiasa wa Afrika Kusini anayehudumu kama mbunge katika jimbo la Cape Magharibi tangu Mei 2019. Ayanda ni mwanachama wa African National Congress na anawakilisha eneo la bunge la Karoo ya kati.

Ayanda Ayanda Precious Bans
Nchi Afrika Kusini
Kazi yake Mwanasiasa

Marejeo hariri

  Makala hii kuhusu mwanasiasa fulani bado ni mbegu.
Je, unajua kitu kuhusu Ayanda Bans kama wasifu wake, habari za maisha au kazi yake?
Labda unaona habari katika Wikipedia ya Kiingereza au lugha nyingine zinazofaa kutafsiriwa?
Basi unaweza kuisaidia Wikipedia kwa kuihariri na kuongeza habari.