Beatrice Matumbo Shellukindo
Beatrice Matumbo Shellukindo ni mbunge wa jimbo la Kilindi katika bunge la taifa nchini Tanzania.[1] Anatokea katika chama cha CCM.
Tazama pia hariri
Marejeo hariri
- ↑ "Mengi kuhusu Beatrice Matumbo Shellukindo". 25 Aprili 2006. Ilihifadhi kwenye nyaraka kutoka chanzo mnamo 2011-10-26. Iliwekwa mnamo 11 Novemba 2011.
Makala hiyo kuhusu mwanasiasa wa Tanzania bado ni mbegu. Unaweza kuisaidia Wikipedia kwa kuongezea habari. |