Bevan Fransman

Mchezaji wa soka wa Afrika Kusini

Bevan Fransman, (amezaliwa Cape Town[1], Western Cape, 31 Oktoba, 1983) ni mchezaji wa soka wa Afrika Kusini, ambaye kwa sasa anacheza kama beki wa kati katika timu ya TS Galaxy.

Alikuwa katika kikosi cha timu ya taifa ya Afrika Kusini katika Kombe la Mataifa ya Afrika 2008.

Soka ya klabu hariri

Hapoel Tel Aviv hariri

Tarehe 9 Juni 2010, Fransman alihamia klabu ya Israel ambayo ilikuwa mabingwa mara mbili kwa ada ambayo haikutangazwa na kusaini mkataba wa miaka mitatu.[onesha uthibitisho]

Mafanikio hariri

Marejeo hariri

  1. "Highlands Park". Ilihifadhi kwenye nyaraka kutoka chanzo mnamo 2021-07-30. Iliwekwa mnamo 2023-06-14. 
  Makala hii kuhusu mchezaji mpira fulani bado ni mbegu.
Je, unajua kitu kuhusu Bevan Fransman kama wasifu wake, habari za maisha au kazi yake?
Labda unaona habari katika Wikipedia ya Kiingereza au lugha nyingine zinazofaa kutafsiriwa?
Basi unaweza kuisaidia Wikipedia kwa kuihariri na kuongeza habari.