Bill Ainslie

msanii, mwalimu na mwanaharakati wa Africa Kusini

William "Bill" Ainslie (1934-1989) alikuwa msanii wa nchini Afrika Kusini, mwalimu, mwanaharakati, na pia mwanzilishi wa miradi kadhaa ya sanaa. [1]

Maisha ya awali hariri

Ainslie alizaliwa tarehe 10 Aprili 1934 huko Bedford, Eastern Cape, [2] ambapo familia yake ililima shamba lililoitwa Spring Grove”. Familia yake ilihamia Karoo alipokuwa mvulana mdogo, lakini baadaye aliondoka kwenda Johannesburg kwa sababu ya ukame. Baba yake alifariki alipokuwa na umri wa miaka minane. [3]

Marejeo hariri

  1. "William Stewart Ainslie | South African History Online". www.sahistory.org.za. Iliwekwa mnamo 2020-07-25. 
  2. "Artist Bill Ainslie is born", 2011-03-16. Retrieved on 2018-01-09. 
  3. "Bill Ainslie – Southern African Foundation For Contemporary Art". saffca.com. 
  Makala hii kuhusu mtu huyo bado ni mbegu.
Je, unajua kitu kuhusu Bill Ainslie kama wasifu wake, habari za maisha au kazi yake?
Labda unaona habari katika Wikipedia ya Kiingereza au lugha nyingine zinazofaa kutafsiriwa?
Basi unaweza kuisaidia Wikipedia kwa kuihariri na kuongeza habari.