Bisoye Tejuoso

mfanyabiashara

Esther Bisoye Tejuoso (1916 - 19 Septemba 1996) alikuwa mfanyabiashara Wa Nigeria kutoka Abeokuta. Alizaliwa katika familia ya mkulima wa Egba ambaye pia alikuwa kiongozi wa kijadi huko Abeokuta.[1] Yeye mwenyewe alishikilia ukuu wa kichifu wa Iyalode, jambo ambalo lilimfanya awe maarufu sana katika masuala ya Egba.

Marejeo hariri

  1. "Alaafin Adisa (@alaafinadisa) on Instagram | Ghostarchive". ghostarchive.org. Iliwekwa mnamo 2024-05-02. 
  Makala hii kuhusu mtu huyo bado ni mbegu.
Je, unajua kitu kuhusu Bisoye Tejuoso kama wasifu wake, habari za maisha au kazi yake?
Labda unaona habari katika Wikipedia ya Kiingereza au lugha nyingine zinazofaa kutafsiriwa?
Basi unaweza kuisaidia Wikipedia kwa kuihariri na kuongeza habari.