Bononi
Bononi, O.S.B. (Bologna, Emilia-Romagna, karne ya 10 - Lucedio, Piemonte, 30 Agosti 1026) alikuwa abati nchini Italia kwa miaka 30 baada ya kuishi tangu ujanani kama mmonaki, hasa nchini Misri[1][2].
Papa Yohane XIX alimtangaza mtakatifu mwaka 1026 .
Tazama pia hariri
Tanbihi hariri
- ↑ http://www.treccani.it/enciclopedia/santo-bononio_(Dizionario-Biografico)
- ↑ https://www.santiebeati.it/dettaglio/92417 Pomi, Damiano. "San Bononio", Santi e Beati
- ↑ Martyrologium Romanum
Viungo vya nje hariri
Makala hii bado ni mbegu. Je, unajua kitu kuhusu Mkristo huyu, kama wasifu wake, habari za maisha au kazi yake? Je, unaona habari katika Wikipedia ya Kiingereza au lugha nyingine zinazofaa kutafsiriwa? Basi unaweza kuisaidia Wikipedia kwa kuihariri na kuiongezea habari. |