Dagoretti
Dagoretti ni eneo lililoko magharibi mwa Nairobi, mji mkuu wa Kenya.
Kata hariri
Kata | Idadi ya Watu |
---|---|
Kawangware | 86,824 |
Kenyatta | 30,253 |
Mutuini | 14,521 |
Riruta | 65,958 |
Uthiru / Ruthimitu | 23,016 |
Waithaka | 19,937 |
Jumla | 240,081 |
sensa ya mwaka wa 1999 |
Usafiri hariri
Kituo cha reli cha Dagoretti kiko kwenye mstari wa mfumo wa reli ya kitaifa.
Marejeo hariri
Viungo vya nje hariri
01°18′00″S 36°46′00″E / 1.30000°S 36.76667°E
Makala hii kuhusu maeneo ya Kenya bado ni mbegu. Je unajua kitu kuhusu Dagoretti kama historia yake, biashara, taasisi zilizopo, watu au utamaduni? Labda unaona habari katika wikipedia ya Kiingereza au lugha nyingine zinazofaa kutafsiriwa? Basi unaweza kuisaidia Wikipedia kwa kuihariri na kuongeza habari. |