Deodati wa Nevers (pia: Dié, Didier, Dieudonné, Déodat, Adéodat; alifariki 679 hivi) alikuwa askofu wa mji huo (leo nchini Ufaransa) kuanzia mwaka 655 hadi 664 alipokwenda kuishi upwekeni.

Kutukuzwa kwake.

Anasemekana alianzisha pia monasteri chini ya kanuni ya Kolumbani ambayo imepewa jina lake[1].

Tangu kale anaheshimiwa kama mtakatifu.

Sikukuu yake huadhimishwa tarehe 19 Juni[2].

Tazama pia hariri

Tanbihi hariri

  1. http://www.santiebeati.it/dettaglio/58410
  2. Martyrologium Romanum: ex Decreto Sacrosancti oecumenici Concilii Vaticani II instauratum auctoritate Ioannis Pauli P.P. II promulgatum, Romae 2001, ISBN 8820972107

Viungo vya nje hariri

  Makala hii bado ni mbegu.
Je, unajua kitu kuhusu Mkristo huyu, kama wasifu wake, habari za maisha au kazi yake?
Je, unaona habari katika Wikipedia ya Kiingereza au lugha nyingine zinazofaa kutafsiriwa?
Basi unaweza kuisaidia Wikipedia kwa kuihariri na kuiongezea habari.