Douala
Douala ni mji mkubwa wa Kamerun ukiwa na wakazi 1,338,082 (2021[1][2]).
Uko kilometa 24 kutoka bahari kwenye mdomo mpana wa mto Wouri unaokomea kwenye Ghuba ya Guinea ya Atlantiki. Bandari yake inaifanya kuwa kitovu cha uchumi wa Kamerun.
Wakati wa ukoloni wa Kijerumani ulikuwa mji mkuu wa Kamerun hadi mwaka 1907.
Mto Wouri hariri
Douala ina mto Wouri.
Usafiri hariri
Unafanyika kwa:
Dini hariri
Ni hasa:
-
Msikiti wa New-Bell
Bandari huru hariri
Douala ina bandari.
Sanaa hariri
Kazi za sanaa zinapatikana jijini.
Tazama pia hariri
Tanbihi hariri
Makala hii kuhusu maeneo ya Afrika bado ni mbegu. Je unajua kitu kuhusu Douala kama historia yake, biashara, taasisi zilizopo, watu au utamaduni? Labda unaona habari katika wikipedia ya Kiingereza au lugha nyingine zinazofaa kutafsiriwa? Basi unaweza kuisaidia Wikipedia kwa kuihariri na kuongeza habari. |