Drogo (pia: Dreux, Drugo, Druron; Epinoy, Artois, leo nchini Ufaransa, 14 Machi 1105 - Sebourg, Ufaransa Kaskazini, 16 Aprili 1186 hivi) alikuwa Mkristo aliyetamani maisha manyofu na upweke. Kwa ajili hiyo kwa miaka mingi alifanya kazi ya kuchunga na hakuwa na makao maalumu, akitembelea patakatifu mbalimbali, halafu akawa mkaapweke katika chumba kidogo kilichounganika na kanisa[1][2][3].

Sanamu ya Mt. Drogo.

Tangu kale anaheshimiwa na Wakatoliki na Waorthodoksi kama mtakatifu.

Sikukuu yake huadhimishwa tarehe ya kifo chake[4].

Tazama pia hariri

Tanbihi hariri

  1. Drogo of Sebourg, Hermit (RM), Saint of the Day, Saint Patrick Catholic Church, Washington, D.C.
  2. Cruz, Joan Carroll (1997). Mysteries, Marvels, Miracles in the Lives of Saints. TAN Books. 
  3. http://www.santiebeati.it/dettaglio/92331
  4. Martyrologium Romanum

Viungo vya nje hariri

  Makala hii bado ni mbegu.
Je, unajua kitu kuhusu Mkristo huyu, kama wasifu wake, habari za maisha au kazi yake?
Je, unaona habari katika Wikipedia ya Kiingereza au lugha nyingine zinazofaa kutafsiriwa?
Basi unaweza kuisaidia Wikipedia kwa kuihariri na kuiongezea habari.