Edmundi Campion, S.J. (London, 24 Januari, 1540Tyburn, 1 Desemba 1581) alikuwa padri Mjesuiti kutoka Uingereza.

Mt. Edmundi alivyochorwa.

Baada ya kupewa upadrisho huko Praha, Ucheki, alijiunga na Wajesuiti na mwaka 1580 alitumwa kwao.

Mwaka uliofuata, akiwa anasoma Misa kwa siri alikamatwa na hatimaye alinyongwa na kukatwa vipandevipande[1].

Alitangazwa mwenye heri na Papa Pius XI mwaka 1929 na mtakatifu na Papa Paulo VI mwaka 1976.

Sikukuu yake huadhimishwa na Wakatoliki tarehe 1 Desemba[2].

Tazama pia hariri

Tanbihi hariri

Marejeo hariri

The most comprehensive and detailed scholarly reference today is Professor Gerard Kilroy's biography: Edmund Campion, A Scholarly Life London & New York: Routledge "Ashgate", 2015. ISBN 978-1-4094-0151-3

Vyanzo hariri

Viungo vya nje hariri

 
Wikimedia Commons ina media kuhusu:
  Makala hii bado ni mbegu.
Je, unajua kitu kuhusu Mkristo huyu, kama wasifu wake, habari za maisha au kazi yake?
Je, unaona habari katika Wikipedia ya Kiingereza au lugha nyingine zinazofaa kutafsiriwa?
Basi unaweza kuisaidia Wikipedia kwa kuihariri na kuiongezea habari.