Eneo la Uingereza katika Bahari Hindi

Eneo la Uingereza katika Bahari Hindi (kwa Kiingereza: British Indian Ocean Territory) ni hasa funguvisiwa la Chagos likiwa pamoja na kisiwa cha Diego Garcia. Linapatikana kati ya Tanzania na Indonesia.

Eneo la Uingereza katika Bahari Hindi
British Indian Ocean Territory

Diego Garcia ni kisiwa kikuu cha Eneo la Uingereza katika Bahari Hindi
Habari za kimsingi
Utawala Eneo la ng'ambo la Uingereza
Mji Mkuu Kisiwa cha Diego Garcia
Lugha rasmi Kiingereza
Anwani ya kijiografia Latitudo: 6°00'S
Longitudo: 71°30'E
Eneo 60 km²
Wakazi wanajeshi 2,500; wakazi asilia 2,000 walihamishwa
Msongamano wa watu watu 58.3 kwa km²
Simu & Pesa +56 (nchi)
Mahali

Eneo la Uingereza katika Bahari Hindi pamoja na Diego Garcia

Eneo la Uingereza katika Bahari Hindi

Mauritius inadai eneo lote ni lake, na mwaka 2017 mkutano mkuu wa Umoja wa Mataifa umeikubalia ifungue kesi katika Mahakama Kuu ya Kimataifa.

Viungo vya nje hariri

 
Wikimedia Commons ina media kuhusu:

  British Indian Ocean Territory travel guide kutoka Wikisafiri

  Makala hii kuhusu eneo fulani bado ni mbegu.
Je unajua kitu kuhusu eneo hilo kama historia yake, biashara, taasisi zilizopo, watu au utamaduni?
Je, unaona habari katika wikipedia ya Kiingereza au lugha nyingine zinazofaa kutafsiriwa?
Basi unaweza kuisaidia Wikipedia kwa kuihariri na kuiongezea habari.


Usitaje majina ya madiwani na viongozi au maafisa wengine wa sasa maana wanabadilika haraka mno.