Eoni wa Arles (Chalon-sur-Saône, karne ya 5 BK - Arles, 17 Agosti 502) alikuwa askofu wa mji huo (leo nchini Ufaransa) kuanzia mwaka 485 hadi kifo chake .

Alilinda Kanisa lake dhidi ya uzushi wa Pelaji akapendekeza kwa waumini wake wamfanye mwandamizi wake Sesari[1], ambaye mwenyewe alikuwa amempa upadirisho [2].

Tangu kale anaheshimiwa na Wakatoliki na Waorthodoksi kama mtakatifu.

Sikukuu yake huadhimishwa tarehe 18 Agosti[3].

Tazama pia hariri

Tanbihi hariri

Marejeo hariri

  • (Kifaransa) Jean-Maurice Rouquette (cur.), Arles, histoire, territoires et cultures - Editions Imprimerie nationale, 2008. ISBN 978-2-7427-5176-1
  • (Kifaransa) Paul-Albert Février, Congrès archéologique de France, 134e session (1976) Pays d'Arles, Société française d'archéologie, Parigi, 1979
  • (Kiingereza) William E. Klingshirn, Caesarius of Arles : The Making of a Christian Community in Late Antique Gaul, Cambridge University Press, 1994. ISBN 0-521-52852-6

Viungo vya nje hariri

  Makala hii bado ni mbegu.
Je, unajua kitu kuhusu Mkristo huyu, kama wasifu wake, habari za maisha au kazi yake?
Je, unaona habari katika Wikipedia ya Kiingereza au lugha nyingine zinazofaa kutafsiriwa?
Basi unaweza kuisaidia Wikipedia kwa kuihariri na kuiongezea habari.