Eurosia wa Jaca
Eurosia wa Jaca (pia: Orosia; alifariki Hispania, 880) alikuwa bikira Mkristo aliyeuawa na Waislamu waliotawala nchi hiyo [1].
Tangu kale anaheshimiwa na Wakatoliki na Waorthodoksi kama mtakatifu mfiadini.
Tazama pia hariri
Tanbihi hariri
Viungo vya nje hariri
Wikimedia Commons ina media kuhusu:
- Saints of June 25: Eurosia (Orosia) Archived 2017-04-19 at the Wayback Machine
- Saint Eurosia
- (Kiitalia) Sant' Eurosia di Jaca
- (Kihispania) Elena Gusano Galindo, "Santa Orosia, Patrona de los Endemoniados"
Makala hii bado ni mbegu. Je, unajua kitu kuhusu Mkristo huyu, kama wasifu wake, habari za maisha au kazi yake? Je, unaona habari katika Wikipedia ya Kiingereza au lugha nyingine zinazofaa kutafsiriwa? Basi unaweza kuisaidia Wikipedia kwa kuihariri na kuiongezea habari. |