Felicia Eze
Felicia Eze (27 Septemba 1974 - 31 Januari 2012) alikuwa mchezaji wa mpira wa miguu nchini Nigeria. Alishiriki na timu ya wanawake ya Nigeria katika michezo ya Olimpiki ya mwaka 2004. Eze alifariki tarehe 31 Januari 2012 katika Jimbo la Anambra akiwa na umri wa miaka 37.[1][2]
Felicia Eze | |
Amezaliwa | 27 Septemba 1974 Nigeria |
---|---|
Amekufa | 31 Januari 2012 Jimbo la Anambra |
Nchi | Nigeria |
Kazi yake | Mchezaji wa mpira wa miguu |
Marejeo hariri
- ↑ "NFF mourns Eze, condoles Egyptian FA". kickoff.com. Ilihifadhi kwenye nyaraka kutoka chanzo mnamo 2016-06-17. Iliwekwa mnamo 7 February 2012. Check date values in:
|accessdate=
(help) - ↑ "Super Falcons Star Dies". vanguardngr.com. Iliwekwa mnamo 7 February 2012. Check date values in:
|accessdate=
(help)
Makala hii kuhusu mchezaji mpira fulani bado ni mbegu. Je, unajua kitu kuhusu Felicia Eze kama wasifu wake, habari za maisha au kazi yake? Labda unaona habari katika Wikipedia ya Kiingereza au lugha nyingine zinazofaa kutafsiriwa? Basi unaweza kuisaidia Wikipedia kwa kuihariri na kuongeza habari. |