George Huruma Mkuchika

George Huruma Mkuchika (amezaliwa tar. 6 Oktoba 1948) ni mbunge wa jimbo la Newala katika bunge la kitaifa huko nchini Tanzania.[1] Anatokea katika chama cha CCM. Aliingia bungeni mwaka 2010 akarudishwa mwaka 2015.[2]

Mheshimiwa Mstaafu Kapteni George Mkuchika Mb


Waziri wa Nchi Ofisi ya Rais Utumishi
wa Umma na Utawala Bora
Muda wa Utawala
7 Octoba 2017 – sasa
Rais Mhe. Dkt. John Magufuli
mtangulizi George Simbachawene

Waziri wa Nchi Ofisi ya Waziri Mkuu
Tawala za Mikoa na Serikali za Mitaa
Muda wa Utawala
28 Novemba 2010 – 7 Mei 2012
Waziri Mkuu Mizengo Pinda
aliyemfuata Hawa Ghasia

Waziri wa Habari, Utamaduni na Michezo
Muda wa Utawala
13 Februari 2008 – 28 Novemba 2010
Rais Dkt. Jakaya Mrisho Kikwete

Mbunge wa Newala
Aliingia ofisini 
Decemba 2005

Mkuu wa Mkoa wa Tanga
Muda wa Utawala
1997 – 2005
Rais Late Benjamin William Mkapa

tarehe ya kuzaliwa 6 Oktoba 1948 (1948-10-06) (umri 75)
Tanganyika
utaifa Tanzanian
chama CCM
mhitimu wa Chuo Kikuu cha Dar es Salaam

Tazama pia hariri

Marejeo hariri

  1. Mengi kuhusu George Huruma Mkuchika (19 Julai 2006). Jalada kutoka ya awali juu ya 2011-10-20. Iliwekwa mnamo 11 Novemba 2011.
  2. Tovuti ya Bunge la Tanzania, iliangaliwa Mei 2017