Giuseppe Verdi (Roncole, karibu na Busseto, Parma 9 au 10 Oktoba 1813 - [Milano] 27 Januari 1901) alikuwa mtunzi wa opera kutoka nchini Italia.

Giuseppe Verdi.

Yaaminika kwamba Verdi na Richard Wagner walikuwa watunzi wakubwa kabisa wa muziki wa opera kwa kipindi cha karne ya 19, ingawaje walikuwa wakiishi nchi tofauti.

Viungo vya nje hariri


 
Wikimedia Commons ina media kuhusu:
  Makala hii kuhusu mwanamuziki fulani wa Ulaya bado ni mbegu.
Je, unajua kitu kuhusu Giuseppe Verdi kama wasifu wake, habari za maisha au kazi yake?
Labda unaona habari katika Wikipedia ya Kiingereza au lugha nyingine zinazofaa kutafsiriwa?
Basi unaweza kuisaidia Wikipedia kwa kuihariri na kuongeza habari.


Orodha ya Wanamuziki wa kipindi cha Romatiki
Alkan Balakirev Beethoven Bellini Berlioz Berwald Bizet Borodin Brahms Bruckner Chopin Cui Dvořák Elgar Field Franck Glinka Grieg Liszt Mahler Mendelssohn Mussorgsky Rachmaninoff Rimsky-Korsakov Saint-Saëns Schubert Schumann Smetana Strauss Tchaikovsky Verdi Wagner Wolf Weber