Golveni (kwa Kifaransa: Golven, Golwen, Goulven; karne ya 6 - Saint-Didier, leo nchini Ufaransa, 616 hivi) alikuwa mkaapweke, halafu askofu wa Saint-Pol-de-Léon, katika mkoa wa Bretagne [1].

Mt. Golveni.

Tangu kale anaheshimiwa na Wakatoliki na Waorthodoksi kama mtakatifu.

Sikukuu yake huadhimishwa tarehe 1 Julai[2].

Tazama pia hariri

Tanbihi hariri

Marejeo hariri

Viungo vya nje hariri

  Makala hii bado ni mbegu.
Je, unajua kitu kuhusu Mkristo huyu, kama wasifu wake, habari za maisha au kazi yake?
Je, unaona habari katika Wikipedia ya Kiingereza au lugha nyingine zinazofaa kutafsiriwa?
Basi unaweza kuisaidia Wikipedia kwa kuihariri na kuiongezea habari.