Gondulfi
Gondulfi (kwa Kilatini: Gondulfus, Gundulphus, labda pia Bethulphus; karne ya 6 - karne ya 7) alikuwa askofu wa 22 wa jimbo la Tongeren-Maastricht, leo kati ya Ubelgiji na Uholanzi.
Tangu kale anaheshimiwa na Wakatoliki na Waorthodoksi kama mtakatifu.
Tazama pia hariri
Tanbihi hariri
Marejeo hariri
- (Kiholanzi) Régis de la Haye, De bisschoppen van Maastricht. Maastricht, 1985
Viungo vya nje hariri
Wikimedia Commons ina media kuhusu:
Makala hii bado ni mbegu. Je, unajua kitu kuhusu Mkristo huyu, kama wasifu wake, habari za maisha au kazi yake? Je, unaona habari katika Wikipedia ya Kiingereza au lugha nyingine zinazofaa kutafsiriwa? Basi unaweza kuisaidia Wikipedia kwa kuihariri na kuiongezea habari. |