Greenwich

ukarasa wa maana wa Wikimedia

Greenwich ni jina la mahali katika nchi zinazotumia lugha ya Kiingereza.

Kiasili ilikuwa jina la mji mdogo Greenwich karibu na London ambayo sasa imekuwa sehemu ya jiji hili kubwa.

Greenwich hii ilikuwa makao makuu ya wafalme wa Uingereza wakati wa karne ya 15. Baadaye mji umekuwa maarufu kutokana na paoneaanga (kituo cha kuangalia nyota) kwa sababu meridiani yake imekuwa msingi wa kipimo cha longitudo duniani na pia msingi wa ugawaji wa dunia katika kanda muda.

Kuna pia miji inayoitwa Greenwich huko Kanada, Marekani na Australia.

Tazama pia hariri

 
Ukurasa huu una maelezo ya maana ili kutofautisha nia mbalimbali zinazolengwa na neno moja. Kwa usaidizi kuhusu makala za aina hii tazama Msaada:Maana

Maelezo katika ukurasa huu yawe mafupi, na kwa kila maana kuwe na kiungo kimoja tu ambacho kiunge ukurasa kuhusu nia yenye maana hii. Ukiwa umefika hapa kwa kutumia kiungo katika makala nyingine, tafadhali badalisha kiungo kile kiunge makala iliyokusudiwa moja kwa moja.