Grizelda Cjiekella

Mwanasiasa na Mjumbe wa Halmashauri kuu ya elimu ndani ya mji mkuu wa jimbo la Kaskazini Afrika Kusini.

Grizelda Boniwe Cjiekella ni mwanachama wa halmashauri kuu ya elimu ndani ya mji mkuu wa jimbo la Kaskazini Afrika Kusini. Aliwahi kuwa waziri mkuu wa jimbo kuanzia tarehe 20 Februari 2012 mpaka tarehe 2 Aprili 2013.

Grizelda Cjiekella
Amezaliwa Afrika Kusini, 1970
Africa Kusini
Amekufa 28 Agosti 2015
Nchi Bendera ya Afrika Kusini Afrika Kusini
Kazi yake Waziri mkuu

Marejeo hariri