Gundi
Gundi (kwa Kiingereza: Adhesive, glue, cement, mucilage au paste[1]) ni majimaji mazito yanayoweza kutokana na miti n.k. ambayo hutumika katika kugandisha au kuunganishia vitu mbalimbali, kwa mfano karatasi.
Tanbihi hariri
- ↑ Pike, Roscoe. "adhesive". Encyclopædia Britannica Online. Encyclopædia Britannica Inc. Iliwekwa mnamo 9 April 2013. Check date values in:
|accessdate=
(help)
Makala bado ni mbegu. Unaweza kuisaidia Wikipedia kwa kuongezea habari. |