Guyana

(Elekezwa kutoka Gwiyana)


--Kwa mkoa wa jirani wa Ufaransa angalia makala Guyana ya Kifaransa--

Co-operative Republic of Guyana
Bendera ya Guyana Nembo ya Guyana
Bendera Nembo
Kaulimbiu ya taifa: One people, one nation, one destiny
"Umma moja, taifa moja, mwelekeo wetu"
Wimbo wa taifa: Dear Land of Guyana, of Rivers and Plains
Lokeshen ya Guyana
Mji mkuu Georgetown
6°49′ N 58°9′ E
Mji mkubwa nchini Georgetown
Lugha rasmi Kiingereza
Serikali Jamhuri
Irfaan Ali
Mark Phillips
Uhuru
Kutoka Uingereza
Jamhuri

26 Mei 1966
23 Februari 1970
Eneo
 - Jumla
 - Maji (%)
 
214,970 km² (ya 85)
8.4
Idadi ya watu
 - 2014 kadirio
 - 2012 sensa
 - Msongamano wa watu
 
735,554 (ya 165)
747,884
3.5/km² (ya 232)
Fedha dollar ya Guyana (GYD)
Saa za eneo
 - Kiangazi (DST)
(UTC-4)
(UTC)
Intaneti TLD .gy
Kodi ya simu +592

-


Guyana ni nchi huru katika Amerika Kusini. Imepakana na Suriname upande wa mashariki, na Brazil upande wa kusini na kusini-magharibi halafu na Venezuela upande wa magharibi.

Ni nchi ndogo ya tatu barani.

Mji mkuu ni Georgetown.

Watu hariri

Wakazi wengi wana asili ya India (43.5%) na ya Afrika (30.2%). Asilimia 16.7 ni machotara na 9.1 ni Waindio.

Guyana ni nchi pekee katika Amerika Kusini inayotumia Kiingereza kama lugha rasmi. Hata hivyo lugha ya kawaida ni aina ya Krioli ambayo ndiyo lugha ya taifa.

Upande wa dini, wengi (57%) ni Wakristo wa madhehebu mbalimbali, wakifuatwa na Wahindu (28%) na Waislamu (7%).

Tazama pia hariri

Viungo vya Nje hariri

 
WikiMedia Commons
Wikimedia Commons ina media kuhusu:

Serikali hariri

Taarifa za jumla hariri

Nyongeza hariri

Nchi na maeneo ya Amerika Kusini

Argentina | Bolivia | Brazil | Chile | Ekuador | Guyana | Guyani ya Kifaransa | Kolombia | Paraguay | Peru | Surinam | Uruguay | Venezuela

  Makala hii kuhusu maeneo ya Amerika Kusini bado ni mbegu.
Je unajua kitu kuhusu Guyana kama historia yake, biashara, taasisi zilizopo, watu au utamaduni?
Labda unaona habari katika wikipedia ya Kiingereza au lugha nyingine zinazofaa kutafsiriwa?
Basi unaweza kuisaidia Wikipedia kwa kuihariri na kuongeza habari.