Hifadhi ya Taifa ya Fazao Malfakassa

Hifadhi ya Taifa ya Fazao Malfakassa, ndiyo mbuga ya taifa kubwa zaidi kati ya mbuga tatu za nchini Togo, [1] [2] nyingine zikiwa ni kama Kéran na Fosse aux Lions .

Muonekano wa mlima wa Hifadhi ya Taifa ya Fazao.
Muonekano wa mlima wa Hifadhi ya Taifa ya Fazao.

Iko kati ya Mkoa wa Kara na Mkoa wa Kati katika ardhi oevu yenye vilima, na ni sehemu ya mpaka na Ghana . Fondation Franz Weber iliidhinishwa na serikali kusimamia hifadhi hiyo kwa miaka 25, kuanzia mwaka 1990 na kumalizika mwaka 2015. [3] [4]


Marejeo hariri

  1. Planet, Lonely; Ham, Anthony; Carillet, Jean-Bernard; Clammer, Paul; Filou, Emilie; Masters, Tom; Mutic, Anja; Sieg, Caroline; Thomas, Kate (2013-08-01). Lonely Planet West Africa (kwa Kiingereza). Lonely Planet. ISBN 9781743217825. 
  2. Stuart, S. N.; Adams, Richard J.; Jenkins, Martin (1990). Biodiversity in Sub-Saharan Africa and Its Islands: Conservation, Management, and Sustainable Use. IUCN. uk. 215. ISBN 9782831700212.  Unknown parameter |url-access= ignored (help)
  3. "Fazao Malfakassa National Park - Togo". Fondation Franz Weber. Ilihifadhi kwenye nyaraka kutoka chanzo mnamo 2016-10-23. Iliwekwa mnamo 2022-06-14. 
  4. "Strengthening the conservation role of Togo’s national System of Protected Areas (PA)". United Nations Development Programme.