Hifadhi ya Taifa ya Milima ya Bale

Hifadhi ya Taifa ya Milima ya Bale ( BMNP ) ni mbuga ya taifa nchini Ethiopia . Hifadhi hii inajumuisha eneo la takribani kilomita za mraba 2,150 katika Milima ya Bale na Uwanda wa Sanetti wa Nyanda za Juu za Ethiopia.

iMbuga hii iliteuliwa kuwa hifadhi kwenye Orodha ya Urithi wa Dunia wa Tentative mwaka 2009. [1] [2]

Jiografia hariri

Hifadhi ya taifa ya Milima ya Bale iko kusini mashariki mwa Ethiopia, kilomita 400 kusini mashariki mwa Addis Ababa na kilomita 150 mashariki mwa Shashamene katika Jimbo la taifa la Mkoa wa Oromia . [3]

 
Milima ya Bale na mazingira ya hifadhi.

Marejeo hariri

  1. Centre, UNESCO World Heritage. "Bale Mountains National Park". UNESCO World Heritage Centre (kwa Kiingereza). Iliwekwa mnamo 2021-09-05. 
  2. "WORLDKINGS - Worldkings News - Africa Records Institute (AFRI) – Bale Mountains National Park: Home to world's most species of Ethiopian wolf". Worldkings - World Records Union (kwa Kiingereza). Iliwekwa mnamo 2021-09-05. 
  3. Centre, UNESCO World Heritage. "Bale Mountains National Park". UNESCO World Heritage Centre (kwa Kiingereza). Iliwekwa mnamo 2021-09-05. 
  Makala hii kuhusu maeneo ya Afrika bado ni mbegu.
Je unajua kitu kuhusu Hifadhi ya Taifa ya Milima ya Bale kama historia yake, biashara, taasisi zilizopo, watu au utamaduni?
Labda unaona habari katika wikipedia ya Kiingereza au lugha nyingine zinazofaa kutafsiriwa?
Basi unaweza kuisaidia Wikipedia kwa kuihariri na kuongeza habari.