Hong Eun-ah

mwamuzi wa mpira wa miguu

Hong Eun-ah (alizaliwa 9 Januari 1980) [1] alikuwa mwamuzi wa mpira wa miguu wa Korea Kusini.

Alichezesha mechi mbalimbali za mpira wa miguu wanawake katika ngazi ya ndani na kimataifa, ikiwa ni pamoja na mechi katika mashindano ya soka ya Olimpiki ya Wanawake mwaka 2008 na 2012. [2]

Hong alisoma katika Chuo Kikuu cha Loughborough nchini Uingereza, alipokuwa Uingereza alikuwa mwamuzi wa fainali ya Kombe la FA la wanawake 2010. Alijulikana kwa jina la "Una Hong" nchini Uingereza. [3]

Mnamo Novemba 2009 Hong alitajwa kuwa mwamuzi bora wa mwaka wa Shirikisho la Soka la Asia (AFC). [4]

Marejeo hariri

  1. "Referee". FIFA.com. Ilihifadhi kwenye nyaraka kutoka chanzo mnamo May 13, 2012. Iliwekwa mnamo 2012-06-06.  Check date values in: |archivedate= (help)
  2. "Referee". FIFA.com. Ilihifadhi kwenye nyaraka kutoka chanzo mnamo May 13, 2012. Iliwekwa mnamo 2012-06-06.  Check date values in: |archivedate= (help)"Referee". FIFA.com. Archived from the original Archived 13 Mei 2012 at the Wayback Machine. on May 13, 2012. Retrieved 2012-06-06.
  3. "Hong gets prestigious assignment". Asian Football Confederation. 2010-04-16. Ilihifadhi kwenye nyaraka kutoka chanzo mnamo 2013-02-13. Iliwekwa mnamo 2012-06-06. 
  4. Kyu-wook, Oh (2010-04-16). "Hong Una makes English soccer history". The Korea Herald. Iliwekwa mnamo 2012-06-06. 
  Makala hii kuhusu mtu huyo bado ni mbegu.
Je, unajua kitu kuhusu Hong Eun-ah kama wasifu wake, habari za maisha au kazi yake?
Labda unaona habari katika Wikipedia ya Kiingereza au lugha nyingine zinazofaa kutafsiriwa?
Basi unaweza kuisaidia Wikipedia kwa kuihariri na kuongeza habari.