Ibzan (kwa Kiebrania אִבְצָן‎‎, ’Iḇṣān, maana yake "mashuhuri"[1]) alikuwa mmojawapo kati ya Waamuzi wa Biblia.

Ibzan alivyochorwa katika Promptuarii Iconum Insigniorum ya Guillaume Rouillé.

Kadiri ya Waamuzi 12:8-10 alikuwa wa Bethlehemu[2] akaongoza Israeli kwa miaka 7[3].

Alikuwa na watoto 30 wa kiume na 30 wa kike.

Tanbihi hariri

  1. Easton, Matthew George (1897), "Ibzan", Easton's Bible Dictionary (New and revised ed.), T. Nelson and Sons
  2. Cambridge Bible for Schools and Colleges on Judges 12, accessed 8 November 2016
  3. "The "Minor Judges"- A Re-evaluation". Alan J. Hauser. 1975. Iliwekwa mnamo 2015-03-27. 

Viungo vya nje hariri

  Makala hii kuhusu mtu wa Biblia bado ni mbegu.
Je, unajua kitu kuhusu Ibzan kama habari za maisha au kazi yake?
Labda unaona habari katika Wikipedia ya Kiingereza au lugha nyingine zinazofaa kutafsiriwa?
Basi unaweza kuisaidia Wikipedia kwa kuihariri na kuongeza habari.