Ibzan
Ibzan (kwa Kiebrania אִבְצָן, ’Iḇṣān, maana yake "mashuhuri"[1]) alikuwa mmojawapo kati ya Waamuzi wa Biblia.
Kadiri ya Waamuzi 12:8-10 alikuwa wa Bethlehemu[2] akaongoza Israeli kwa miaka 7[3].
Tanbihi hariri
- ↑ Easton, Matthew George (1897), "Ibzan", Easton's Bible Dictionary (New and revised ed.), T. Nelson and Sons
- ↑ Cambridge Bible for Schools and Colleges on Judges 12, accessed 8 November 2016
- ↑ "The "Minor Judges"- A Re-evaluation". Alan J. Hauser. 1975. Iliwekwa mnamo 2015-03-27.
Viungo vya nje hariri
- International Standard Bible Encyclopedia
- Book of Judges article (Jewish Encyclopedia)
Makala hii kuhusu mtu wa Biblia bado ni mbegu. Je, unajua kitu kuhusu Ibzan kama habari za maisha au kazi yake? Labda unaona habari katika Wikipedia ya Kiingereza au lugha nyingine zinazofaa kutafsiriwa? Basi unaweza kuisaidia Wikipedia kwa kuihariri na kuongeza habari. |