Idfa (kwa Kiarabu: إدفا) ni kijiji kilichopo kwenye utawala wa Sohag ukanda wa juu wa Misri uliopo kilomita 6.4 (4.0 mi) kutoka mji wa karibu wa Sohag.

kijiji cha idfa na mahali ilipo [1]

Hapo zamani, ilikuwa ikijulikana na Wamisri wa Kale kama Iteb, kisha iliitwa na Wagiriki kama Itos (Kigiriki cha Kale: Ἰτος).

Marejeo hariri

  Makala hii kuhusu maeneo ya Misri bado ni mbegu.
Je unajua kitu kuhusu Idfa kama historia yake, biashara, taasisi zilizopo, watu au utamaduni?
Labda unaona habari katika wikipedia ya Kiingereza au lugha nyingine zinazofaa kutafsiriwa?
Basi unaweza kuisaidia Wikipedia kwa kuihariri na kuongeza habari.