Invercargill (Kimaori: Waihōpai) ni mji wa New Zealand mwenye wakazi 52,400 (2010). Iko upande wa kusini wa kisiwa. Eneo lake ni 491 km².

Invercargill / Waihōpai

Mji wa Invercargill (New Zealand)
Habari za kimsingi
Mkoa Southland
Anwani ya kijiografia Latitudo: 46°25′5″S - Longitudo: 168°18′6″E
Eneo 491 km²
Wakazi 52,400 (mji pekee)
48,700 (pamoja na rundiko)
Msongamano wa watu watu 106.7 (mji pekee) kwa km²
Simu +64 (nchi), 03 (mji)
Mahali

Viungo vya nje hariri



  Makala hii kuhusu eneo fulani bado ni mbegu.
Je unajua kitu kuhusu eneo hilo kama historia yake, biashara, taasisi zilizopo, watu au utamaduni?
Je, unaona habari katika wikipedia ya Kiingereza au lugha nyingine zinazofaa kutafsiriwa?
Basi unaweza kuisaidia Wikipedia kwa kuihariri na kuiongezea habari.


Usitaje majina ya madiwani na viongozi au maafisa wengine wa sasa maana wanabadilika haraka mno.