Jackson Muvangila Makwetta
Jackson Muvangila Makwetta (amezaliwa tar. 15 Juni 1943) ni mbunge wa jimbo la Njombe Kaskazini katika bunge la kitaifa huko nchini Tanzania.[1] Anatokea katika chama cha CCM.
Tazama pia hariri
Marejeo hariri
- ↑ ["Mengi kuhusu Jackson Muvangila Makwetta". Ilihifadhi kwenye nyaraka kutoka chanzo mnamo 2011-10-17. Iliwekwa mnamo 2011-11-04. Mengi kuhusu Jackson Muvangila Makwetta]
Viungo vya nnje hariri
- Tovuti ya Bunge la Tanzania
Makala hiyo kuhusu mwanasiasa wa Tanzania bado ni mbegu. Unaweza kuisaidia Wikipedia kwa kuongezea habari. |