James Matthews
Mshairi wa Afrika Kusini
James Matthews (amezaliwa 29 Mei 1929 mjini Cape Town) alikuwa mwandishi wa Afrika Kusini. Aliandika habari, hadithi na mashairi. Maandishi yake mengi yalipigwa marufuku chini ya sera ya apartheid.
James Matthews | |
Amezaliwa | 29 Mei 1929 Cape Town, Afrika Kusini |
---|---|
Nchi | Afrika Kusini |
Kazi yake | Mshairi |
Maandishi yake hariri
- Cry Rage! (mashairi, 1972)
- Pass Me a Meatball, Jones (mashairi, 1977)
- No Time for Dreams (mashairi, 1981)
- The Park and Other Stories (hadithi, 1983)
Angalia pia hariri
Marejeo hariri
- Chapman, Michael. 2003. Southern African Literatures, University of Natal Press. ISBN 1-86914-028-1
Makala hii kuhusu mtu huyo bado ni mbegu. Je, unajua kitu kuhusu James Matthews kama wasifu wake, habari za maisha au kazi yake? Labda unaona habari katika Wikipedia ya Kiingereza au lugha nyingine zinazofaa kutafsiriwa? Basi unaweza kuisaidia Wikipedia kwa kuihariri na kuongeza habari. |