Jannik Vestergaard

Mchezaji wa mpira wa miguu wa Denmark

Jannik Vestergaard (alizaliwa tarehe 3 Agosti 1992) ni mchezaji wa soka wa kimataifa wa Denmark ambaye anacheza katika klabu ya Uingereza Southampton na timu ya Taifa ya Denmark.

Huyu ni Jannik-Vestergaard

Maisha yake hariri

Vestergaard alizaliwa na baba wa Denmark na mama wa Ujerumani katika kitongoji cha Copenhagen cha Hvidovre na kukulia huko Copenhagen.

Jamaa wanamichezo hariri

Ndugu yake wa Ujerumani Hannes Schröers na mjomba Jan Schröers pia walikuwa wachezaji wa Fortuna Dusseldorf na Bayer 05 Uerdingen.

Binti yake Mika Schröers anacheza timu ya vijana wa Borussia Mönchengladbach.

  Makala hii kuhusu mchezaji mpira fulani bado ni mbegu.
Je, unajua kitu kuhusu Jannik Vestergaard kama wasifu wake, habari za maisha au kazi yake?
Labda unaona habari katika Wikipedia ya Kiingereza au lugha nyingine zinazofaa kutafsiriwa?
Basi unaweza kuisaidia Wikipedia kwa kuihariri na kuongeza habari.