Jesús Arturo Esparza

Jesús Arturo Esparza (alizaliwa Agosti 1990)[1] ni mwanariadha wa mbio ndefu wa Mexico. Mwaka 2020, alishindana kwenye mbio za wanaume katika michuano ya riadha nusu marathoni duniani mwaka 2020 iliyofanyika Gdynia, Poland.[2]

Jesús Arturo Esparza mnamo 2017

Mwaka 2017 aliiwakilisha Meksiko kwenye mashindano ya 2017 Summer Universiade yaliyofanyika Taipei, Taiwan, katika tukio la nusu marathoni kwa wanaume.[3] Akamaliza akishinda nafasi ya 23.[3]

Alishindana marathoni ya wanaume kwenye olimpiki ya majira ya joto mwaka 2020 katika jiji la Tokyo, Japani.[4]

Marejeo hariri

  1. College Athletics and the Law 17 (8). 2020-11. ISSN 1552-8774. doi:10.1002/catl.v17.8 http://dx.doi.org/10.1002/catl.v17.8.  Check date values in: |date= (help); Missing or empty |title= (help)
  2. "Competitive effectiveness in 50 km skiing marathon at winter Olympic Games and World Championships during the whole period of their organization (since 1924 till 2019)". 2020-06-25. 
  3. 3.0 3.1 "Original PDF". dx.doi.org. Iliwekwa mnamo 2021-10-03. 
  4. "Los socios para el desarrollo consideran que las evaluaciones mutuas son eficaces". dx.doi.org. 2020-05-13. Iliwekwa mnamo 2021-10-03.