Jimbo Katoliki la Lugazi
Jimbo Katoliki la Lugazi (kwa Kilatini "Dioecesis Lugasiensis") ni mojawapo kati ya majimbo 20 ya Kanisa Katoliki nchini Uganda na kama hayo yote linafuata mapokeo ya Kiroma.
Kikanisa linahusiana na Jimbo Kuu la Kampala.
Askofu wake ni Christopher Kakooza.
Historia hariri
Uongozi hariri
Takwimu hariri
Eneo ni la kilometa mraba 4,595, ambapo kati ya wakazi 1,549,134 (2013) Wakatoliki ni 667,362 (43.1%).