Jimbo Katoliki la Same

Hii ni sehemu ya mfululizo kuhusu
Kanisa Katoliki
Imani

Umoja wa Mungu
Utatu (Baba, Mwana, Roho Mtakatifu)
Umwilisho Maisha ya Yesu
Msalaba Ufufuko Kupaa
Historia ya Wokovu Ufunuo
Biblia Mapokeo Ualimu Dogma
Neema Dhambi Wokovu Sakramenti
Watakatifu Bikira Maria

Muundo

Papa: Fransisko
Urika wa maaskofu Mitaguso mikuu
Kundi la Makardinali
Kanisa la Kilatini
Makanisa Katoliki ya Mashariki

Historia

Historia Ukristo
Ukatoliki Mlolongo wa Kitume
Sifa nne za Kanisa Utetezi Ekumeni
Maisha ya kiroho Amri Kumi Utawa
Sala Falsafa Teolojia
Muziki Sanaa Sayansi

Ibada

Liturujia Mwaka wa Kanisa
Ekaristi Liturujia ya Vipindi

Mapokeo ya liturujia

Liturujia ya Kilatini (Roma Liturujia ya Trento Milano Toledo Braga Lyon Canterbury)
Liturujia ya Armenia Liturujia ya Misri
Liturujia ya Ugiriki Liturujia ya Antiokia
Liturujia ya Mesopotamia

Jimbo Katoliki la Same (kwa Kilatini "Dioecesis Samensis") ni mojawapo kati ya majimbo 34 ya Kanisa Katoliki nchini Tanzania, na kama hayo yote linafuata mapokeo ya Kiroma.

Kanisa kuu liko mjini Same, katika mkoa wa Kilimanjaro na limewekwa wakfu kwa heshima ya Kristo Mfalme.

Linahusiana na Jimbo Kuu la Arusha.

Takwimu hariri

Eneo lake lote ni kama kilometa mraba 10,000, ambamo wamo wakazi 562,950. Kati yao Wakatoliki ni 70,490 (2004) yaani asilimia 12.5.

Waamini hawa wanahudumiwa na mapadri 85, ambao kati yao 74 ni wanajimbo na 9 watawa. Parokia ziko 30, Parokia Teule 5.

Jimbo lina mabruda 13 na masista 40 pia.

Historia hariri

Uongozi hariri

Viungo vya nje hariri

  Makala hii kuhusu Kanisa Katoliki bado ni mbegu.
Je, unajua kitu kuhusu Jimbo Katoliki la Same kama historia yake au maelezo zaidi?
Labda unaona habari katika Wikipedia ya Kiingereza au lugha nyingine zinazofaa kutafsiriwa?
Basi unaweza kuisaidia Wikipedia kwa kuihariri na kuongeza habari.