Jimbo la Uchaguzi la Bahari
Bahari lilikuwa Jimbo la uchaguzi katika Mkoa wa Pwani wa Kenya, mojawapo ya majimbo matatu ya uchaguzi katika Wilaya ya Kilifi.
Historia hariri
Jimbo hili lilianzishwa wakati wa uchaguzi mkuu wa Kenya wa 1988.
Wabunge hariri
Uchaguzi | Mbunge [1] | Chama | Vidokezo |
---|---|---|---|
1988Timothy Mtana Lewa | KANU | Mfumo wa Chama Kimoja | |
1992 | J. Safari Mumba | KANU | |
1997 | Jembe Mwakalu | KANU | |
2002 | Joe Matano Khamisi | NARC | |
2007 | Benedict Fodo Gunda | ODM |
Kata na Wodi hariri
Kata | |
Kata | Idadi ya Watu* |
---|---|
Banda ra Salama | 10,962 |
Chasimba | 17,871 |
Junju | 28,876 |
Kilifi Township | 45,236 |
Matsangoni | 14,645 |
Mtwapa | 66,268 |
Mwarakaya | 15,140 |
Ngerenya | 14,450 |
Roka | 15,375 |
Takaungu Mavueni | 26,479 |
Tezo | 22,116 |
Ziani | 14,588 |
Jumla | x |
Hesabu ya 1999 |
Wodi | ||
Wodi | Wapiga Kura Waliojiandikisha |
Utawala wa Mtaa |
---|---|---|
Chasimba | 4,840 | Kilifi county |
Hospital / Sokoni | 9,367 | Kilifi (mji) |
Junju | 7,304 | Kilifi county |
Kibarani | 4,884 | Kilifi (mji) |
Matsangoni | 3,980 | Kilifi county |
Mavueni/Mkongani | 3,251 | Kilifi (mji) |
Mnarani | 2,603 | Kilifi (mji) |
Mtepeni | 7,587 | Kilifi county |
Mwarakaya | 7,462 | Kilifi county |
Ngala | 3,826 | Kilifi (mji) |
Ngerenya | 4,140 | Kilifi county |
Roka | 3,993 | Kilifi county |
Shauri Moyo / Takaungu | 4,401 | Kilifi (mji) |
Shimo la Tewa | 7,138 | Kilifi county |
Ziani | 3,929 | Kilifi county |
Jumla | 78,705 | |
*Septemba 2005 [2].
|
Tazama Pia hariri
Marejeo hariri
- ↑ Center for Multiparty Democracy: Politics and Parliamenterians in Kenya 1944-2007 Archived 28 Februari 2008 at the Wayback Machine.
- ↑ Electoral Commission of Kenya: Registered voters per polling station by electoral area/ward and constituency