Joanisi (pia: Joanisi Mkuu, kwa Kigiriki: Όσιος Ιωαννίκιος ο Μέγας; Bitinia, 754/762 hivi - Antidium, 3 Novemba 846) alikuwa mmonaki, na hasa mkaapweke, maarufu kwa miujiza[1], katika maeneo ya Uturuki ya leo. Alisaidia kurudisha heshima kwa picha takatifu baada ya dhuluma ya serikali ya Dola la Roma Mashariki[2].

Picha takatifu ya Mt. Joanisi Mkuu.
Mji wa Bursa kutoka Mlima Uludag, alipoishi miaka mingi na unaoitwa hadi leo "Mlima wa Wamonaki".

Kabla ya kutawa alikuwa askari kwa miaka 20[3][4] .

Tangu kale anaheshimiwa na Kanisa Katoliki kama mtakatifu[5].

Sikukuu yake inaadhimishwa kila tarehe 3 Novemba[6] au 4 Novemba [7][8].

Tazama pia hariri

Tanbihi hariri

  1. Butler, Rev. Alban (2010). The Lives of the Saints. New York: Bartelby. 
  2. "Venerable Joannicius the Great". Orthodox Church In America. Iliwekwa mnamo July 3, 2019.  Check date values in: |accessdate= (help)
  3. Treadgold, Warren (January 2002). "Photius Before His Patriarchate". Journal of Ecclesiastical History 53 – kutoka Cambridge.  Check date values in: |date= (help)
  4. Cyril Mango, "The Two Lives of St Ioannikios and the Bulgarians", Harvard Ukrainian Studies VII (1983) (Okeanos: Essays presented to Ihor Swevcenko),393-404, esp. pp.396-400
  5. http://www.santiebeati.it/nomi/Detailed/76060.html
  6. Martyrologium Romanum
  7. Συναξαριστής. 4 Νοεμβρίου. ECCLESIA.GR. (H ΕΚΚΛΗΣΙΑ ΤΗΣ ΕΛΛΑΔΟΣ).
  8. Ὁ Ὅσιος Ἰωαννίκιος ὁ Μέγας ὁ ἐν Ὀλύμπῳ. 4 Νοεμβρίου. ΜΕΓΑΣ ΣΥΝΑΞΑΡΙΣΤΗΣ.

Viungo vya nje hariri

  Makala hii bado ni mbegu.
Je, unajua kitu kuhusu Mkristo huyu, kama wasifu wake, habari za maisha au kazi yake?
Je, unaona habari katika Wikipedia ya Kiingereza au lugha nyingine zinazofaa kutafsiriwa?
Basi unaweza kuisaidia Wikipedia kwa kuihariri na kuiongezea habari.